-

.

.

TRAMEPRO

TRAMEPRO

NAIPENDA NCHI YANGU TANZANIA

Thursday 1 September 2016

TRAMEPRO YAUNGANA NA SERIKALI KATIKA MAADHIMISHO YA TIBA ASILI YA MWAFRIKA KWA NCHI 46 ZA AFRIKA - WHO-AFRO

Shirika la Dawa Asilia na ulinzi wa mazingira TRAMEPRO. Tanzania Bara TUNAUNGANA NA SERIKALI,KATIKA NCHI 46 BARANI AFRIKA KUADHIMISHA SIKU YA TIBA ASILI YA MWAFRIKA Tarehe 31/08/2016.Bara la Africa WHO-AFRO.UJUMBE Maalum wa mwaka huu ni "Kanuni za udhibiti wa bidhaa za Tiba Asili Katika Kanda ya Afrika" Mganga wa Tiba Asili zingatia Sera,Sheria,Kanuni ,Taratibu na Miongozo inayo simamia huduma ya Tiba Asili.TAMKO LA KATIBU MKUU KUHUSU MAADHIMIMISHO YA SIKU YA TIBA ASILI YA MWAFRIKA lililotolewa 31/08/2016.KATIKA UKUMBI WA WAZIRI WA AFYA MAENDELEO YA JAMII ,JINSIA ,WAZEE NA WATOTO.
picha ni kumbukumbu mbalimbali za maonesho ya Tiba asili ya Mwafrika yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam - TANZANIA Mnamo mwaka 2014.




0 comments:

Post a Comment

MWENYEKITI WA TRAMEPRO BWANA SIMBA ABDULRAHMAN SIMBA AKITOA SALAM ZA PONGEZI KWA MHE. DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI KWA KUCHAGULIWA KUWA RAISI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

SEND EMAIL TO TRAMEPRO

Name

Email *

Message *