-

.

.

TRAMEPRO

TRAMEPRO

NAIPENDA NCHI YANGU TANZANIA

Sunday 9 November 2014

BARAZA LA TIBA ASILI, MBADALA LAPIGA MARUFUKU MATANGAZO NA VIPINDI VYA TIBA HIYO

Mwenyekiti wa Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala, Profesa Rogassian Mahunnah.
Kutoka kushoto ni Kaimu Msajili wa tiba Asili Mboni Bakari, Mwenyekiti, Profesa Rogassian Mahunnah na Mfamasia Lucy Samweli.
BARAZA hilo limesema halitambui vipindi na matangazo yote ya tiba asili na tiba mbadala yanayoendelea kwa sasa kwenye vyombo vya habari nchini kwani ni batili yanapotosha na hayana vibali.
Baraza linawaomba wananchi kutokuamini huduma hizo ikiwamo za matumizi ya mashine za Quantim na zile za  kuondoa sumu mwilini, pamoja na  kuwataka waganga wanaotoa tiba hizo kujisajili ili kufanya kazi zao kihalali.
Hayo yamezungumzwa na Mwenyekiti wa Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala, Profesa Rogassian Mahunnah alipokuwa akizungmza na wanahabari katika Ukumbi wa Habari Maelezo jijini Dar es Salaam.
Kujua mengi zaidi tembela www.boresaclinic.blogspot.com

0 comments:

Post a Comment

MWENYEKITI WA TRAMEPRO BWANA SIMBA ABDULRAHMAN SIMBA AKITOA SALAM ZA PONGEZI KWA MHE. DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI KWA KUCHAGULIWA KUWA RAISI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

SEND EMAIL TO TRAMEPRO

Name

Email *

Message *