-

.

.

TRAMEPRO

TRAMEPRO

NAIPENDA NCHI YANGU TANZANIA

Saturday 18 October 2014

JUKWAA LA TIBA ASILI TANZANIA KUSHIRIKIANA NA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII NA MAMLAKA YA MAENDELEO YA BIASHARA TANZANIA (TANTRADE) LINATOA TANGAZO KUWA:


                                   TANGAZO

JUKWAA LA TIBA ASILI TANZANIA KUSHIRIKIANA NA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII NA MAMLAKA YA MAENDELEO YA BIASHARA TANZANIA (TANTRADE), LIMEANDAA MAONYESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA TIBA ASILI YA MWAFRIKA YATAKAYOFANYIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM KUANZIA NOVEMBA 16 -23, 2014. WATOA HUDUMA YA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA PAMOJA NA WANANCHI WOTE MNAKARIBISHWA KUPATA HUDUMA NA MAARIFA YA TIBA ASILI.
LENGO LA MAONYESHO HAYO NI KUWALETA PAMOJA WATAALAMU NA WADAU MBALIMBALI WA TIBA ASILI BARANI AFRIKA KUJENGA MTANDAO WA PAMOJA KATIKA KUBORESHA HUDUMA YA TIBA ASILI.
MAONYESHO HAYO YAKO WAZI KWA WAFANYABIASHARA NA KAMPUNI NYINGINE ZITAKAZOTAKA KUSHIRIKI.
KWA MAWASILIANO PIGA SIMU NAMBA

0 comments:

Post a Comment

MWENYEKITI WA TRAMEPRO BWANA SIMBA ABDULRAHMAN SIMBA AKITOA SALAM ZA PONGEZI KWA MHE. DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI KWA KUCHAGULIWA KUWA RAISI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

SEND EMAIL TO TRAMEPRO

Name

Email *

Message *